Radio Fadhila
Chanjo
29 March 2023, 10:13 AM
Jamii ya wafugaji Lukuledi wakosa chanjo ya UVIKO 19
Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi inayosababisha jamii za wafugaji kuhamahama kutafuta malisho kumechangia kwa kiasi kikubwa kupelekea jamii kukosa kupata baadhi ya huduma za kijamii Hayo yamesema na baadhi ya Jamii ya wafugaji ambao wanafanya shughuli zao za ufugaji…