Pangani FM

WAZEE

29 June 2021, 12:28 pm

MIA za Rais Samia Pangani-Wazee

Baadhi ya wazee Wilayani Pangani Mkoani Tanga wameuzungumzia Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan tangu aingie Madarakani, huku wakieleza kufurahishwa na uongozi wake alio uonyesha kwa Siku 100 tangu aapishwe kuiongoza Nchi hii. Wakizungumza na Pangani fm, wazee hao wamesema…

4 February 2021, 7:55 pm

Baraza la Wazee Tanga rasmi, Pangani ina wazee wachache zaidi.

WATUMISHI wa ngazi zote mkoani Tanga wameaswa kuacha kudharau na kuwanyanyapaa wazee pindi wanapofuata huduma kwenye ofisi zao badala yake kuwanyenyekea na kuwapa kipaumbele ili kupata Baraka. Hayo yamesemwa jana na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Martin Shigela wakati akizindua…