Pangani FM

UKATILI WA KIJINSIA

5 February 2021, 1:45 pm

Wanaume watakiwa kuvunja ukimya vitendo vya Ukatili

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amewataka wanaume kutoa taarifa kwenye mamlaka husika kuhusu ukatili wanaofanyiwa ili kutokomeza matukio ya ukatili nchini. Dkt. Gwajima ametoa kauli hiyo leo jijini Dodoma alipotoa tamko kuhusu…