Pangani FM
CLIMATE CHANGE
14 July 2021, 7:40 pm
UZIKWASA yawakutanisha wadau kujadili Mabadiliko ya Tabia Nchi Pangani.
Wadau wa Mazingira Wilayani Pangani Mkoani Tanga wamejadili suala ya mabadiliko ya tabianchi na uhusiano wake wa kijinsia, ambapo wanawake wanaelezwa kuguswa moja kwa moja na mabadiliko hayo, na hivyo kuna umuhimu wa kuwashirikisha katika ngazi ya majadiliano. Akizungumza na…