Pangani FM
AJIRA
25 January 2021, 6:26 pm
Siri ya Wakandarasi kutumia vibarua toka nje ya Pangani yatajwa.
Wananchi wilayani Pangani mkoani Tanga hususani vijana wametakiwa kuchangamkia fursa za miradi ya ujenzi inayotekelezwa wilayani humo badala ya kukaa vijiweni na kuchagua kazi. Wito huo umetolewa kwa vijana ili kuhakikisha wanajikwamua kiuchumi na kuimarisha mapato ya Halmashauri Hayo yamesemwa…