Pambazuko FM Radio
Pamba
18 May 2021, 5:21 am
Pembejeo,Hamasa mpya kilimo cha Pamba Malinyi
Wakulima 25 katika Kijiji cha Kipenyo kata ya Mtimbira Wilayani Malinyi wamelima Jumla ya hekari 41 za zao la Pamba. Afisa Kilimo wa Kijiji hicho Bwana Miraji Ngaillah amesema wakulima wameanza kuhamasika kulima zao hilo ambapo hapo awali kulikuwa na…