Mazingira
19 April 2024, 8:28 pm
Maisha ya mwanadamu yanategemea bionuai iliyohifadhiwa
Na Katalina Liombechi Imeelezwa kuwa Utunzaji wa Bionuai unasadia Uendelevu wa maisha ya Binadamu na Viumbe hai kwa Ujumla. Mhifadhi Kutoka Shirika linalojihusisha na Urejeshaji wa Misitu Afrika(Reforest Africa) Helman Lyatuu amesema hayo Wakati akizungumza na Pambazuko Fm kuhusu Uhifadhi…
10 April 2024, 11:37 pm
Waathirika wa mafuriko Ifakara wapata msaada
Picha ya waathiriika wakiwa kwenye moja ya kambi – Picha na Katalina Liombechi Na Katalina Liombechi Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mh Aboubakar Asenga Ametoa Msaada wa vyakula kwa Waathirika wa Mafuriko 135 walioweka kambi katika Shule ya Msingi Kiyongwile…
28 March 2024, 5:13 pm
Uharibifu wa mazingira unavyogharimu maisha ya watu
‘‘Mnapojadiliana mikakati mtakayokuja nayo ni lazima, lazima nasema lazima ijibu hali ya umasikini sio kumwambia mtu asikate mti bila kumwambia afanye nini’’ Amesema Katibu Tawala Alhaj Mussa Ally Mussa Na Katalina Liombechi Imeelezwa kuwa Matokeo ya Uharibifu wa Mazingira katika…
27 March 2024, 12:21 pm
Tawa inavyolinda Pori la Akiba la Kilombero kama chanzo muhimu cha maji-Makala
Makala inayoelezea Jitihada zinazofanywa na Tawa kulinda Pori la Akiba la Kilombero kama chanzo muhimu cha maji katika Bwawa la Mwalimu Nyerere.