Pambazuko FM Radio
Kilosa
25 June 2021, 6:14 am
Kambi Kusaidia Wanafunzi Wasichana Kutimiza Ndoto zao
Na; Katalina Liombechi Mkurugenzi msaidizi wa Elimu ya Msingi kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Susana Nyarubamba amesema ili msichana aweze kuwa salama jamii na wazazi wanatakiwa kutengeneza utamaduni wa kuwa walinzi wa watoto wao kila wakati wawapo shuleni…