Pambazuko FM Radio

Ukatili

18 May 2021, 7:04 am

Mwanafunzi Mlimba ajeruhiwa kwa viboko na mwalimu

Na:Katalina Liombechi Mdau wa Kituo cha Sheria na haki za Binadamu Wilaya ya Kilombero Bashiri Kwahai amewataka walimu kutojichukulia sheria Mkononi kwa kuwaadhibu wanafunzi pasipo kufuata utaratibu kwani ni kinyume na haki za Binadamu. Hayo ameyasema alipofika katika Hospitali ya…