Orkonerei FM
Uhifadhi
24 February 2024, 12:12 pm
Shoroba za wanyamapori Simanjiro zaitesa jamii vijijini
Uwepo wa njia za wanyamapori maarufu kama shoroba kwenye maeneo ya vijijini imekuwa changamoto kwa wananchi kwa kile wanachodai kuwa hawakushirikishwa katika uanzishwaji wake. Na Baraka David Ole Maika. Wakizungumza na kipindi cha Uhifadhi na Mazingira cha Orkonerei FM Radio,…