Orkonerei FM
Maafa
13 March 2022, 9:43 pm
Serikali kuimarisha mikakati ya kukabiliana na maafa
HABARI. Serikali imesema inaendelea kuweka mikakati madhubuti namna ya kujikinga na kukabiliana na maafa ili kuepuka madhara makubwa yanayoweza kujitokeza na kuhatarisha usalama wa raia pamoja na kuharibu miundo mbinu.Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,…