Orkonerei FM
Elimu kwa waandishi wa redio za kijamii
28 March 2022, 6:09 pm
Waandishi wa habari wametakiwa kutumia kalamu zao viziri
Na pascal sulle Tanga Waandishi wa habari kutoka redio za kijamii wametakiwa kutumia kalamu zao vizuri katika kuandika habari zinazozingatia maadili ya uandishi wa habari ndani ya jamii. Akizungumza wakati akifungua semina ya waandishi wa habari iliyoandaliwa na tume ya…