Nuru FM
Sheria
13 April 2024, 11:54 am
Mahakama ya Wilaya Mufindi yataifisha V8 iliyobeba wahamiaji haramu
Na mwandishi wetu Mahakama ya Wilaya ya Mufindi ya mkoani Iringa, imetaifisha kuwa mali ya serikali, gari aina ya Toyota LandCruiser V8, lililokamatwa likiwa limebeba wahamiaji haramu 16 raia wa Ethiopia April 6 2024 katika eneo la msitu wa Luganga…