Nuru FM

kilimo

28 March 2022, 5:34 pm

Tanzania, Liechtenstein Kuwekeza Katika Kilimo Hai

Tanzania na Liechtenstein zimekubaliana kuweka mpango mkakati wa kuwekeza katika kilimo hai na kuongeza thamani ya mazao ya kilimo katika mikoa ya Morogogo na Dodoma. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) ameyasema…

31 December 2020, 10:18 am

Wakulima watumie viwanda

Naibu waziri wa viwanda na biashara mhe. Exsaud Kigahe, amewataka wawekezaji nchini, kuona umuhimu wa kujenga viwanda vya kuchakata mazao katika maeneo zinakopatikana kwa wingi malighafi  zitokanazo na kilimo. Mhe. Kigahe amesema hayo wakati alipowatembelea wakazi wa kata ya mapanda…