afya
24 March 2022, 5:25 pm
Tanzania Yatajwa Kuwa Asilimia 30 Ya Wagonjwa Wa Kifua Kikuu
Tanzania ni miongoni mwa nchi 30 zenye maambukizi makubwa ya ugonjwa wa kifua kikuu ambazo zinachangia asilimia 87 ya wagonjwa wote duniani. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu leo Machi 24, 2022 kwenye maadhimisho siku ya kifua kikuu…
15 March 2022, 7:51 am
Serikali yapokea vifaa tiba kutoka Ufaransa
Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa vifaa tiba kutoka Serikali ya Ufaransa, kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa UVIKO-19. Akipokea msaada huo kwa niaba ya Serikali, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Balozi Liberata Mulamula,…
15 March 2021, 10:59 am
Wanabari pingeni ukeketaji
Waandishi wa habari wa redio za jamii nchini wametakiwa kuelimisha jamii juu ya kupinga ukeketaji na ndoa za utotoni dhidi ya wanawake na watoto hayo yamezungumzwa na afisa maendeleo ya jamii halmashauri ya wilaya ya Arusha Angela Kiama Mvaa katika…
26 January 2021, 12:00 pm
Vijana acheni ngono.
Wafamasia Manispaa ya Iringa wamewashauri vijana kuacha kuchangia vifaa vyenye ncha kali ili kupunguza maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.