Mufindi FM

Uhamiaji

9 April 2024, 10:09

Wahamiaji haramu 16 mbaroni wakisafirishwa kwa STL

Na Jackson Machowa-MufindiJeshi la polisi kwa kushirikiana na idara ya uhamiaji mkoani Iringa linawashikilia wahamiaji haramu 16 raia wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini bila kibali kinyume cha sheria.Wahamiaji hao wamekamatwa Jumamosi ya tarehe 6 April 2024 katika eneo…