Recent posts
19 September 2025, 1:16 pm
BPRA yawaasa wafanyabiashara kusajili
Wakala wa Usajili wa Biashara na Mali Zanzibar (BPRA) umeeleza kuwa moja ya malengo yake makubwa ni kujitambulisha kwa wananchi na kutoa elimu kuhusu umuhimu wa kusajili biashara na mali rasmi visiwani. Na Miraji Manzi Kae Akizungumza na Kituo cha…
11 September 2025, 4:34 pm
Vikundi vya wenye ulemavu na mafunzo ya biashara Kusini Unguja
Wanachama 25 kutoka vikundi 16 vya kuweka na kukopa katika Wilaya ya Kusini Unguja wamepatiwa mafunzo ya siku mbili ya kuchagua, kupanga na kusimamia biashara, chini ya Programu ya Mashirikiano ya Pamoja kwa ajili ya Haki za Watu wenye Ulemavu…
11 September 2025, 2:00 pm
Zanzibar Yatarajia kutumia treni kuboresha usafiri wa mijini
Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza kuwa Serikali inajiandaa kuanzisha huduma ya treni za kisasa zinazotumia njia za magari, hatua itakayokuwa ya kihistoria katika kuboresha mfumo wa usafiri wa ndani…
23 July 2025, 2:48 pm
SUZA watoa mwanga kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne
Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) kimefungua rasmi nafasi za masomo kwa msimu wa 2025/2026 huku kikiwapa kipaombele wanafunzi waliomaliza kidato cha nne na kufaulu kwa walau alama D 4. Na Miraji Manzi Kae Msimu wa masomo wa Chuo Kikuu…
14 July 2025, 5:52 pm
RC Kusini Unguja aahidi makubwa katika uteuzi wake
Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja ameahidi makubwa kufuatia uteuzi wake pamoja na utambulisho wake uliofanyika katika ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja. Na Miraji Manzi Kae Hayo ameyasema leo 14 Julai 2025 katika ofisi za Mkuu wa Wilaya…
12 July 2025, 4:30 pm
Kituo cha kujifunza lugha ya alama chaleta mwanga kwa viziwi
Wanafunzi waliohitimu chuo cha kujifunza lugha ya alama kijulikanacho kama Inclusive Vocational Training Center (IVTC) watakiwa kutumia mafunzo yao ya uhitimu kuleta nuru na mwanga kwa watu wote wenye ulemavu wa uziwi. Na Miraji Manzi Kae Hayo Yamesemwa Katika Ukumbi…
28 June 2025, 2:35 pm
Wanakijiji Wa Kajengwa Wawatolea Uvivu Viongozi Wa Hoteli Ya Reef
Wanakijiji Na Wajasiriamali Wa Kijiji Cha Kajengwa wameulalamikia uongozi wa hoteli ya reef beach kwa kuwazuilia kutokufanya biashara zao na kupita katika eneo la fukwe liliopo mbele ya hoteli hiyo ambayo nikinyume na taratibu. Na Miraji Manzi Wakitoa malalamiko hayo…
12 December 2024, 11:18 pm
Tadio yatoa mafunzo kwa waandishi wa Mtegani FM Radio
Mhariri wa Radio Tadio Hilali Ruhundwa (Aliyenyoosha kidole) akitoa mafunzo kwa waandishi wa habari wa Radio Mtegani FM. Picha na Saumu Ali Haji Watangazaji na waandishi wa habari wa radio jamii Mtegani FM Makunduchi Zanzibar wametakiwa kutumia kalamu zao vizuri…
30 November 2024, 12:14 pm
Jamii yatakiwa kuacha mfumo dume, iruhusu wanawake kusikiliza redio jamii
Wananchi Wa Kijiji Cha kizimkazi Mkunguni Watakiwa Kuacha Mila Potofu Za Kutowaruhusu Wanawake Kutumia Radio Jamii. Na Mwaka Mohd Mwita. Hayo yamesemwa na Ustadh Yahya katika kijiji cha Kizimkazi Mkunguni wakati akiongea na Mtegani FM radio. Amesema kuwa jamii sasa…
12 August 2023, 3:22 pm
Tadio yatoa mafunzo kwa waandishi wa Radio Mtegani
Watangazaji na waandishi wa habari wa radio jamii Mtegani FM Makunduchi Zanzibar wametakiwa kutumia mtandao wa Radio Tadio ili kuifikia jamii kimataifa. Na Fatma Saleh Ushauri huo umetolewa na mhariri wa jukwaa la kupashana habari la Radio Tadio lililo chini…