Mpanda FM

PEMBEJEO

26 October 2021, 6:35 pm

Wakulima Mkoani Katavi Walia Bei ya Pembejeo

KATAVI Wakulima Mkoani  Katavi wameiomba serikali kuwapunguzia bei  ya  pembejeo za kilimo zikiwemo mbolea pamoja na mbegu. Wakizungumza na Mpanda radio FM wakulima hao  wamesema ili waweze kuendelea kulima kwa faida na kwa haraka wanapaswa kupata pembejeo kwa wakati na…