Mpanda FM
PEMBEJEO
26 October 2021, 6:35 pm
Wakulima Mkoani Katavi Walia Bei ya Pembejeo
KATAVI Wakulima Mkoani Katavi wameiomba serikali kuwapunguzia bei ya pembejeo za kilimo zikiwemo mbolea pamoja na mbegu. Wakizungumza na Mpanda radio FM wakulima hao wamesema ili waweze kuendelea kulima kwa faida na kwa haraka wanapaswa kupata pembejeo kwa wakati na…