Mpanda FM

MIKOPO

19 November 2021, 12:12 pm

Million 245 za Mkopo wa Asilimia Kumi Katavi

Zaidi ya shilingi milioni mia mbili arobaini na tano zimetolewa  kwa wanawake vijana na watu wenye ulemavu ambao ni wanuafaika wa mkopo wa asilimia kumi kutoka manispa ya mpanda mkoani katavi. Akikabidhi mikopo hiyo katika ukumbi wa manispaa mkoani katavi…