Mpanda FM
MIKOPO
19 November 2021, 12:12 pm
Million 245 za Mkopo wa Asilimia Kumi Katavi
Zaidi ya shilingi milioni mia mbili arobaini na tano zimetolewa kwa wanawake vijana na watu wenye ulemavu ambao ni wanuafaika wa mkopo wa asilimia kumi kutoka manispa ya mpanda mkoani katavi. Akikabidhi mikopo hiyo katika ukumbi wa manispaa mkoani katavi…