Mpanda FM
MAPATO
20 November 2021, 1:06 pm
Maoni ya Wananchi juu ya Katazo kwa Madalali
Baadhi ya wananchi manispaa ya mpanda mkoani katavi wamekuwa na maoni tofauti juu ya katazo la madalali wa nyumba kupewa kodi ya mwezi mmoja. wakizungumza na mpanda radio fm wananchi hao wameleza kufurahishwa kwa marufuku hiyo huku wengine wakionesha kutoridhishwa…
20 November 2021, 10:32 am
TRA Mpanda Yakusanya Mil. 371 kwa Mwezi
Mamlaka ya mapato wilaya ya mpanda Mkoani katavi imefanikiwa kukusanya shilingi milioni mia tatu sabini na moja kwa kipindi cha mwezi augusti sawa na asilimia themanini na tisa ya lengo lililopangwa. Kauli hiyo imetolewa na afisa kodi daraja la kwanza…