Mpanda FM

SIASA.

26 October 2021, 5:56 pm

Mstahiki Meya: Simamieni fedha za miradi

MPANDA Mstahiki meya wa manspaa ya Mpanda Haidary Sumry amewaagiza madiwani kufuatilia fedha zinazopitishwa kwenye miradi ya maendeleo ili kukamilika kwa wakati. Akizungumza katika baraza la madiwani amesema ufuatiliaji huo utasaidia kiwango Cha pesa zinazoelekezwa kwenye miradi kuendana na kasi…