Nishati
14 June 2024, 3:57 pm
Zaidi ya hekta 2077 ya misitu hupotea kila mwaka mkoani Katavi
“Wananchi wanapaswa kuachana na matumizi ya nishati ya kupikia ambayo si safi na kujikita katika matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuweza kuokoa mazingira na afya ya mtumiaji wa nishati hiyo” Na Betord Chove -Katavi Mkuu wa Mkoa wa…
13 June 2024, 5:53 pm
Matumizi ya nishati safi ya kupikia kumkomboa mwanamke mkoani Katavi
Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.Picha na Fatuma Saidi “Mkakati wa matumizi ya nishati safi ya kupikia umelenga kumkomboa mwanamke dhidi ya athari zilizopo katika matumizi ya nishati chafu “ Na Fatuma…
20 May 2024, 3:46 pm
Katavi kunufaika na mashine mpya kunusuru kukatika umeme
Na mwandishi wetu Dodoma Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema mradi wa ujenzi wa njia ya umeme kutoka Tabora hadi Katavi wenye thamani ya shilingi bilioni 116 umefikia asilimia 58, ambapo utakapokamilika utauunganisha mkoa wa Katavi kwenye gridi ya…