Mpanda FM

Nishati

20 May 2024, 3:46 pm

Katavi kunufaika na mashine mpya kunusuru kukatika umeme

Na mwandishi wetu Dodoma Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema mradi wa ujenzi wa njia ya umeme kutoka Tabora hadi Katavi wenye thamani ya shilingi bilioni 116 umefikia asilimia 58, ambapo utakapokamilika utauunganisha mkoa wa Katavi kwenye gridi ya…