Mpanda FM
Maafa
21 May 2024, 3:18 pm
Zimamoto Mpanda waaswa kuchukua tahadhari kabla ya kuzima moto
“Jeshi la zimamoto lililoundwa kwa sheria namba 14 ya mwaka 2007 jukumu lake kubwa ni kuzima moto na kuokoa maisha na mali katika majanga yatokanayo na moto ,mafuriko ,teteeko la ardhi ,ajali za barabarani pamoja na majanga mengine” Picha na…