Mkoani FM

Ukosefu wa Maji

23 October 2021, 1:08 pm

Wananchi Kisiwa Panza walia na Maji safi na salama.

Na Said Omar Said Wananchi wa shehia ya kisiwa panza wilaya ya Mkoani Pemba wamelalamika ukosefu wa maji safi na salama katika shehia hiyo.  Wakizungumza katika mkutano wa kueleza changamoto zao mbele ya mkuu wa Wilaya ya Mkoani katika kisiwa…