Mkoani FM
Mitihani
23 October 2021, 2:02 pm
Watahaniwa kidato cha 4 Mkanyageni Pemba watakiwa wasiwe wadanganyifu.
Na Khadija Ali Yussuf Watahiniwa kidato cha nne Skuli ya Mkanyageni Sekondari wametakiwa kuwa makini na kuacha udanganyifu wakati wa ufanyaji wa mitihani yao ya taifa. Ushauri huo umetolewa na Mwalimu Mkuu wa skuli hiyo Mbarouk Suleiman Abdallah wakati wa…