Micheweni FM

uongozi

6 October 2021, 11:34 am

PEGAO yataja mwarubaini wanawake kushika hatamu

Na Zuhura Juma. WANANCHI wametakiwa kushirikiana pamoja katika kuwainua wanawake, ili kuhakikisha wanakuwa viongozi kuanzia ngazi ya jamii hadi Taifa. Akizungumza na wananchi wa shehia ya Tumbe Magharibi, Mkurugenzi wa Jumuiya ya PEGAO Pemba Hafidh Abdi Said amesema, wanawake wanao…