Micheweni FM
Kilimo
1 October 2021, 9:17 am
Wakulima 50 Pemba wanufaika na vifaa kupitia mradi wa VIUNGO
Na Gaspary Charles JUMLA ya wakulima hamsini wa bustani za nyumbani Kisiwani Pemba katika kipindi cha mwaka wa kwanza wa utekelezaji mradi wa Viungo, Mboga na Matunda wamewezeshwa vifaa vya kilimo ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi huo unaolenga…