Micheweni FM
JAMII
6 December 2021, 11:03 am
MWANASHERIA: Wazazi, Walimu, musiwe miongoni mwa wanaodhalilisha watoto
Na Mwiaba Kombo WAZAZI na walimu wameshauriwa kuwalinda watoto dhidi ya udhalilishaji na kuepuka kuwa miongoni mwa watendaji wa matendo hayo. Akizungumza na wanafunzi katika skuli ya Maandalizi Madungu Chake Chake, mwanasheria kutoka Kituo cha Huduma za Sheria (ZLSC) Pemba…