Micheweni FM
FURSA ZA KIUCHUMI KWA VIJANA
4 October 2021, 10:33 am
MWENYEKITI wa Baraza la Vijana wilaya ya kati afanya ziara Wilaya ya Micheweni
Na Said Abdalla: MWENYEKITI wa Baraza la Vijana Wilaya ya kati Unguja Omar Khamis Omar amefanya ziara katika wilaya ya Micheweni mkoa wa Kaskazini Pemba kwa ajili ya kubadilishana mawazo na kutembelea miradi mbalimbali ya wilaya hiyo. Wakati wa ziara…