Micheweni FM
Uncategorised
24 June 2022, 7:22 am
BARAZA LA HABARI TANZANIA (MCT) LAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI PEMBA KUHUSU…
NA MWIABA KOMBO. WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kusoma na kuzielewa sheria zote, ili kufanya kazi ya habari kwa ufanisi na bila vikwazo. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Khatib Juma Mjaja wakati alipokuwa akifungua mafunzo ya siku…
15 June 2022, 11:07 am
ALIYEMLAWITI MTOTO WA MIAKA 15, AFUNGWA MIAKA 20 PEMBA
NA MWIABA KOMBO. MAHAKAMA ya Mkoa Wete imemuhukumu kijana Ali Sharif Ali miaka 19 mkaazi wa Pandani, kwenda kutumikia chuo cha mafunzo kwa muda wa miaka 20 na kulipa fidia ya shilingi 100,000 baada ya kupatikana na hatia ya…