Micheweni FM
UCHUMI
4 October 2021, 10:33 am
MWENYEKITI wa Baraza la Vijana wilaya ya kati afanya ziara Wilaya ya Micheweni
Na Said Abdalla: MWENYEKITI wa Baraza la Vijana Wilaya ya kati Unguja Omar Khamis Omar amefanya ziara katika wilaya ya Micheweni mkoa wa Kaskazini Pemba kwa ajili ya kubadilishana mawazo na kutembelea miradi mbalimbali ya wilaya hiyo. Wakati wa ziara…
28 September 2021, 6:36 pm
SMZ yaainisha mikakati kutekeleza kwa vitendo dhana ya uchumi wa buluu
NA MWIABA KOMBO. SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imejipanga kikamilifu kuhakikisha wanafanikiwa katika dhana ya uchumi wa buluu katika kuhamasisha matumizi zaidi na endelevu ya bahari kwa ajili ya upatikanaji wa ajira za kudumu. Akizungumza katika mkutano wa wadau kuhusu mapitio…