Micheweni FM
SIASA
21 October 2021, 12:15 pm
Wadau wa vyama vya siasa watakiwa kutambua umuhimu wa daftari la kudumu
Na Said Abdalla: Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar Jaji mkuu mstaafu Hamid Mahmoud Hamid amesema ni utamaduni uliojengwa na tume ya uchaguzi wa kukutana na wadau wake kila inapotokea jambo linalohusu uchaguzi. Ameyasema hayo kwenye mkutano wa wadau wa…