Mazingira FM
Michezo
7 June 2021, 6:15 pm
Diwani Flaviani Nyamigeko tuziunge mkono timu za nyumbani
Diwani wa kata ya bunda stoo Flavian Chacha Nyamigeko amewataka wadau mbalimbali wilayani Bunda na viunga vyake kuziunga mkono timu za nyumbani ili ziweze kufanya vizuri kwenye mashindano ya kitaifa Hayo ameyasema leo alipotembelea kambi ya timu ya Bunda Queens…