Loliondo FM
Elimu
8 November 2021, 1:02 pm
Baraza la madiwani lapendekeza chuo kuitwa jina la OLenasha .
Na Edward Shao. Baraza la Madiwani la halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro lapendekeza chuo cha ualimu kinachojengwa katika kata ya oloipiri Kijiji Cha Orkuyaine tarafa ya loliondo wilayani Ngorongoro kiitwe jina la aliyekuwa naibu waziri uwekezaji ofisini ya waziri mkuu…