Loliondo FM

Afya

16 March 2024, 4:39 pm

Serikali yatoa vifaa tiba kituo cha afya Sale

Na Saitoti Saringe. Katika kuboresha huduma za afya serikali imeendelea kununua vifaa vya tiba muhimu kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanapata huduma stahiki kuanzia vituo vya afya wilayani Ngorongoro. Kituo cha afya Sale kilichopo kata ya Sale kimepokea vifaa vipya…

10 February 2024, 12:27 am

Ngorongoro wahimizwa kuzingatia lishe bora

Serikali ya awamu ya sita imeipa kipaumbele sekta ya afya na upande wa lishe ili kuboresha, kuimarisha afya za watoto na kuondoa hali ya udumavu kwa watoto kwa lengo la kuwa na kizazi bora na chenye afya timamu. Na Edward…

8 November 2021, 2:37 pm

Ngorongoro yakubali Chanjo ya Uviko-19.

Na EDWARD SHAO Utoaji wa chanjo ya Uviko-19 wafikia asilimia 31 wilayani Ngorongoro tangu chanjo hiyo izinduliwe rasmi Agosti 3 2021 na mkuu wa wilaya Mh. Mwl Raymond Stephen Mwangwala. Akizungumza katika kikao cha kujenga uelewa juu ya Ugonjwa huo…