Kitulo FM
ziara ya kukagua viifaa tiba
January 19, 2024, 10:34 pm
Dc Makete afanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya wilaya Makete
Katika mwendelezo wa ziara za Mkuu wa Wilaya ya Makete Mh. Samweli Sweda, mapema hii leo amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya wilaya ya Makete na kubaini baadhi ya changamoto ikiwemo baadhi ya vifaa tiba kutotumika tangu 2021. Mkuu…