Kitulo FM

utekelezaji wa miradi ya maji

March 26, 2024, 5:17 pm

Tatizo la maji Makete latafutiwa muarobahini.

ikiwa serkali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imejikita katika kumtua mama ndoo kichwani wilaya ya Makete imefika zaidi ya 91%katika utekelezaji wa mkakati huo , Mkuu wa Wilaya ya Makete ambaye pia ni mgeni rasmi wa kikao Cha wadau…