Kitulo FM
mapato
February 15, 2024, 7:34 pm
Ubovu wa barabara wachangia kushuka kwa mapato Makete
Ubovu wa barabara Makete umepelekea kupotea kwa mapato hali iliyomfanya mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete Mh. Christopher Fungo kuagiza mamlaka husika kuchukua hatua za maksudi ili kunusuru kupotea kwa mapato . Na Ombeni Mgongolwa Baraza la Madiwani la…