Keifo FM
Ulemavu
20 May 2024, 18:35
Kyela: Likambo mlemavu wa viungo anayelea watoto 10 kwa baiskeli, pikipiki
“Nilipata ulemavu nikiwa na umri wa miaka thelathini nikiwa na mke na watoto watatu.” Anaeleza Mwambungu Na Masoud Maulid Watanzania wenye ulemavu wametakiwa kujishughulisha na shughuli ndogondogo za ujasiriamali na kuachana na tabia ya ombaomba ili kukidhi mahitaji yao. Kauli…