Keifo FM

Miundombinu

15 May 2024, 18:48

Mwanafunzi wa darasa tatu atumbukia mto Kiwira, hofu yatanda

Kutokana na kuharibika kwa kivuko cha Kasumulu kinachowaunganisha wananchi wa kata ya Ngana na Ibanda hapa wilayani Kyela kuwa katika hali mbaya wananchi wa kata hizo wameiomba serikali kuboresha haraka kivuko hicho kinachotishia uhai wao. Na Masoud Maulid Mtoto Elisha…

8 May 2024, 17:57

Kyela: Mwakalile aililia TARURA Bujonde

Baada ya kuharibika kwa miundombinu ya barabara katika kata ya Bujonde hapa wilayani kyela diwani wa kata hiyo Aloyce Mwakalile ameiomba serikali kupitia wakala wa barabara mijini na vijijini kukarabati karavati la Isanga. Na Nsangatii Mwakipesile Kutokana na mafuriko yaliyo…