Keifo FM

Elimu

23 May 2024, 19:08

Kyela: Wananchi Kilombero waamua kujenga ofisi ya mwalimu mkuu

Wananchi wamesema wameanza kuchangishana fedha ili kuhakikisha wanafanikisha ujenzi wa ofisi ya mwalim mkuu katika shule ya msingi kilombero kata ya Mababu hapa wilayani Kyela. Baada ya Halmashauri ya Wilaya ya kyela kukusudia kusaidia fedha za kukamilisha ujenzi wa vyumba…

3 February 2024, 16:47

Hatimaye shule yanukia Serengeti Kyela

Baada ya kukosekana kwa shule za msingi na sekondari hatimaye wakaazi wa kata ya Serengeti hapa wilayani Kyela wanatarajia kuanza ujenzi wa shule baada ya kupatikana eneo. Na Masoud Maulid Kutokana na kilio cha muda mrefu kwa wananchi wa kata…