Keifo FM
Biashara na Uchumi
20 June 2024, 21:21
Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi yatinga Kyela na mkakati maluum
Wananchi wilayani watametakiwa kujitokeza kwa wingi katika zoezi la urasimishaji wa ardhi pamoja na kumiliki hati za umilikaji wa ardhi zoezi litakaloendeshwa na wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi baadae mwaka huu. Na James Mwakyembe Wizara ya ardhi…
27 May 2024, 18:21
Kyela: Wafanyabiashara acheni kugoma njooni TCCIA
Mwenyekiti wa taasisi ya biashara,viwanda na kilimo Tanzania TCCIA amewataka wafanyabiashara wilayani kyela kuitumia taasi yao ili kuondokana na migogoro ya kibiashara isiyo ya lazma. Na Masoud Maulid Siku mbili baada ya mgomo wa wafanyabiashara wa soko la kyela kugoma…