Keifo FM

Biashara na Uchumi

27 May 2024, 18:21

Kyela: Wafanyabiashara acheni kugoma njooni TCCIA

Mwenyekiti wa taasisi ya biashara,viwanda na kilimo Tanzania TCCIA amewataka wafanyabiashara wilayani kyela kuitumia taasi yao ili kuondokana na migogoro ya kibiashara isiyo ya lazma. Na Masoud Maulid Siku mbili baada ya mgomo wa wafanyabiashara wa soko la kyela kugoma…