Karagwe FM
siasa
11 May 2024, 5:51 pm
Malumbano ya viongozi yachelewesha ujenzi wa sekondari ya kata
Mara nyingi viongozi kushindwa kuelewana hali inayosababisha kuchelewesha miradi ya maendeleo ya wananchi hasa upande wa uamuzi wa wapi mradi ujengwe jambo linalowaumiza wananchi wa chini wanaosubiri kunufaika na mradi husika. Na Ospicia Didace. Katibu wa chama cha mapinduzi CCM…
21 April 2024, 5:21 pm
CCM Kagera: Rweikiza ametekeleza ilani kwa kishindo
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera Nazir Karamagi. Picha na Abdullatif Yunus Chama chochote cha siasa huandaa ilani kama dira ya kutekeleza vipaumbele vya mahitaji ya wapiga kura pindi kinaposhika dola baada ya uchaguzi mkuu wa viongozi.Chama cha mapinduzi CCM…