Karagwe FM

kagera

Zimamoto na Skauti

20 April 2021, 9:26 am

Jeshi la zimamoto laungana na Skauti kukabili moto.

Jeshi la zimamoto na uokoaji wilayani Karagwe limeungana na Skauti wilayani humo ili kuongeza nguvu katika kukabiliana na majanga ya moto ambayo yamekuwa yakiteketeza mali za watu na kuwarudisha nyuma kimaendeleo. Staff Sergeant Peter Mbale ni Kamanda wa Jeshi la…