Uncategorized
4 December 2022, 3:03 pm
Uwepo wa Paka Dhahabu katika hifadhi asilia ya msitu wa Minziro, Tanzania
Msitu wa Minziro ni msitu mnene wenye bionuai ya kepee unaopatikana Tanzania. Msitu huu unaomilikiwa na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) upo katika Wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera. Makao makuu ya Ofisi ya Hifadhi ya Asilia ya Minziro yapo Bunazi.…
24 January 2022, 9:46 pm
Madiwani Missenyi waridhia kujenga uwanja wa michezo
Baraza la Madiwani Missenyi limeridhia Ujenzi wa Uwanja wa Michezo na suala hili kuweka katika mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka mitano. Katika kikao Maalum cha Baraza la Madiwani kilichoketi Jumatatu Januari 24, 2022 kwa ajili ya kupitisha mpango Mkakati…
6 November 2021, 11:38 am
Wapewa siku 90 kuwapisha wafugaji
Wakulima waliovamia ardhi ya kijiji cha Kashanda kata ya Nyakakahanga wilayani Karagwe wamepewa miezi mitatu kuvuna mazao yao mahindi na maharage na kisha kuondoka katika kijiji hicho ili kuwaacha wafugaji waendelee na shughuli zao. Kamati ya ulinzi na usalama ya…
19 April 2021, 4:32 pm
Sekondari 15 kati ya 22 zafanikisha Lishe
Afisa Elimu sekondari wilayani Missenyi mkoani Kagera Mwl Saverina Misinde amezipongeza shule za sekondari 15 za serikali zinazotoa huduma ya chakula cha mchana ili kuwawezesha wanafunzi kujifunza vizuri wakiwa wameshiba Pongezi hizo amezitoa hivi karibuni wakati Kamati ya fedha Utawala…