Karagwe FM

Michezo

27 May 2021, 8:26 am

Miss Mkoa kukabidhiwa Ndinga ya kisasa.

Mchakato wa Kumpata Mrembo atakayewakilisha Mkoa wa Kagera katika Shindano la Miss Tanzania 2021, umeanza kushika Kasi katika Mkoa wa Kagera, Baada ya Kamati ya Maandalizi kwa kushirikiana na Waandaaji Kutambulisha Rasmi zawadi ya Mshindi wa Taji hilo. Akitambulisha zawadi…

27 April 2021, 12:02 pm

Timu ya Nyaishozi SC kutua Bungeni wiki hii

Na Shabani Ngarama, Karagwe FM Timu ya Nyaishozi kutoka wilaya ya Karagwe iliyowakilisha mkoa wa Kagera kwa kupanda daraja la pili katika michuano ya fainali ya ligi za mikoa iliyofanyika mkoani Lindi imepata fursa ya kupumzika Dodoma wakati ikitokea mkoani…