Karagwe FM
Maji
28 June 2024, 7:51 pm
Mradi wa maji wa miji 28 kunufaisha wananchi 164,000 Karagwe
Changamoto ya upungufu wa huduma ya maji kwa wakazi wa wilaya ya Karagwe mkoani Kagera inatarajiwa kupungua kwa kiasi kikubwa ifikapo Desemba 2025 baada ya kukamilika kwa mradi wa maji wa miji 28 maarufu kama Rwakajunju. Na Ospicia Didace Mradi…