Kahama FM
#watoto
January 1, 2022, 7:27 pm
GEITA:Watoto wa Kituo cha Moyo wa Huruma waomba wasamalia kuwasaidia vifaa vya S…
Watanzania wametakiwa kujitokeza kuwasaidia watoto wenye uhitaji hasa katika vituo vya watoto yatima vilivyopo katika maeneo mbalimbali nchini ili kuwatia moyo na kuwafanya watoto hao wasijione wakiwa na wapweke katika jamii inayowazunguka. Hayo yamesemwa leo na Msimamizi wa kituo cha…