Kahama FM
Wanawake
March 25, 2021, 2:39 pm
Wanawake wachimbaji wadogo wa Dhahabu Shinyanga sasa kuwezeshwa.
TAASISI ya Kuendeleza Wachimbaji Wadogo wa Madini hapa nchini (FADev), wanatarajia kuanza utoaji wa fedha za ruzuku kwa wanawake ambao ni wachimbaji wadogo wa Dhahabu mkoani Shinyanga, pamoja na kuwapatia mkopo wa vifaa vya uchimbaji bila riba, ili kuwakuza kwenye…