Kahama FM
VIBAKA
April 29, 2021, 9:52 am
Vibaka 17 wakamatwa Shunu Kahama,RPC awashukia wazazi.
Vibaka wakabaji 17 wenye umri chini ya miaka 18 wamekamatwa mtaa wa Shunu Kata ya Nyahanga manispaa ya kahama na jeshi la polisi katika oparation maalumu iliyofanyika kwa muda wasiku tatu. Wakazi wa mtaa wa Shunu kata ya Nyahanga manispaa…